Habari
Afande Sele adai wasanii wa Bongo Fleva waliidhalilisha CCM, amtaka Prof. Jay ahame CHADEMA (+audio)

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini Tanzania, Afande Sele amefunguka sakata la Chama tawala cha Mapinduzi (CCM) kutangaza wazi wiki iliyopita kuwa hakitawatumia wasanii wa muziki wa Bongo Fleva na Waigizaji wa filamu, Bongo Movies.
Kwa upande mwingine, Afande Sele amemshauri Mbunge wa Mikumi, Professor Jay kuachana na chama chake cha CHADEMA na ajiunge CCM, ili aweze kushinda tena Ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkubwa ujao na kuwaletea maendeleo wananchi wake.
Afande akimtolea mfano Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi amesema kuwa ni moja ya wabunge wakorofi ambao wanatamka maneno ya kejeli na matusi kwa Rais Magufuli, kitu ambacho hakileti picha nzuri ndani ya wabunge wa upinzani.
Bangi zinamsumbua uyo
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama hata siku moja!
Bangi siyo nzur aise
Kuna msanii hata mmoja wa ccm ambae kapata jimbo? Chadema tumewapa wasanii wawili ccm je? Bora uwaambie wasanii waikimbie ccm waje chadema watapata vyeo huko wanachezewa tu kwenye kampen kisha wanaachwa kwenye mataa
Yupi msanii alipata nafasi ccm? Dah huyu jamaa mbona anapotea vibaya hvi..
Ww Selemani Mibange Yako Inakupelekesha …Acha ujinga
Iyo mibangi mnayovuta hahaaaaa mbona wewe hawakupi ata ujumbe
Mmmh ile kitu mbaya sanaa
Bangi ya chuga c nzuri
Aisee wewe jamaa ndio unafanya watu watuone sisis wavuta bangi hatuna akili vizuri
Huyu bangi anaila kama ugaliiiii!!!😂
Huyu bangi yake anaivutia kupita tundu la makalio si bure
Kama amuwez kutumia mmea c muuache kwan lazma, mbona unatuzalilisha watumiaji we
Hivi Kwani Kuwa Upinzani ni dhambi
Hivi Kwani Kuwa Upinzani ni dhambi
Bangi mbaya
😀😀😀😀😀
Umepotea kama ulivyo potea kwenye Gem
Wewe mbona hupewi,apewe la nni wakati analo?jipange.njaa ni noma.
Bangi mbichi huwa inabangua
…Mara ya kwanza nilivyo vuta bangi nilijikuta najitambulisha mbele ya wazazi wangu
Afande sele nikushauri kaka yangu, achana na sugu kumwongelea mama yake, sugu kalelewa na mama yake ni rafiki yake, siyo kama mama yako alikutelekeza na kwenda kuolewa tena, na sugu kakulea wewe kuliko hata mama yako fala wewe
Huyu afande sele anadata huyu…