”Jean Baleke ni mtu hatari, amefanya kazi ambayo wanasimba tulitaka kuona akiifanya, anafunga na anaisaidia timu kupata ushindi.”- @ahmedally_
Ahmed ameongeza kwa kusema kuwa Katika sajili zote @simbasctanzania ndiyo imefanya usajili bora zaidi dirisha dogo akikwepa kumgusia mshambuliaji mpya wa Mtani wao Kennedy Musonda ambaye amecheza mechi mbili hana goli.
Host @fumo255