Michezo

AL Hilal yawazunguka Yanga kinyama

Licha ya kuwa tayari ana makubaliano ya kujiunga Young Africans SC,Al Hilal SC watajaribu kumshawishi Jonathan Sowah ajiunge nao

Wanahitaji mshambuliaji atakayesaidiana na Nahodha Mohamed Abdelrahman ambae kwa sasa ni majeruhi

Wameliweka kipaumbele jina lake dirisha kubwa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents