Michezo
Ali Kamwe akataa Dua za Wanasimba na kuwaita wanafiki

YANGA TUNATAKA TUKASHINDE PALEPALE MOROCCO UWEZO TUNAO
Meneja wa Habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ali Kamwe amefunguka kuelekea mchezo dhidi ya Far Rabat na akiwaahidi wanayanga kuwa Jumamosi ni ushindi kwao.
Unaipa alama ngapi Yanga kutoboa kwenye mchezo huo??
Imeandaliwa na @witnessflavian24




