Michezo
Ali Kamwe awacharua Simba, Wametukimbia
Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ali Kamwe leo baada ya ushindi dhidi ya KMC ameamuwa kuwacharua simba baada ya kuhama uwanja wa KMC Complex, pia Ali Kamwe amefunguka juu ya kuhamia uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika.
kuangalia video Kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongofive






