Muziki

Alikiba aachia chuma kingine ‘Jealous’ akimshirikisha Mayorkun kutoka Nigeria (+ Audio)

Staa wa muziki wa Bongo Fleva halazi zege kama alivyoahidi mwaka huu ni back2back ni kweli anaendelea kuyatimiza maneno yake.

Leo ameachia ngoma nyingine akimshirikisha msanii @iammayorkun kutoka nchini Nigeria

Ikumbukwe ngoma ya mwisho kuiachia kabla ya hii ni #Salute ambayo alimahirikisha msanii kutoka Nigeria @iamkingrudy na hii ya sasa ameshirikisha maanii kutoka huko @iammayorkun

Tuambie unampa asilimia ngapi @officialalikiba kwa ngoma hii #Jealous ..? Dondosha comment yako hapa chini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents