Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari

Alikiba atangaza tour yake ya Marekani

Staa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya @kingsmusicrecords @officialalikiba ametangaza rasmi tour yake ya nchini Marekani.

Akieleza kwenye Instagram yake @officialalikiba ameeleza kuwa huu ni mwaka wa nne hajawahi kufanya show Marekani hivyo hiyo inaonyesha ni namna gani ame miss kufanya show katika yaifa hilo.

Ameongeza kuwa Tour hiyo itakuwa maalumu kwa ajili ya album yake ya Only one King.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents