Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Alikiba atangaza tour yake ya Marekani
Staa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya @kingsmusicrecords @officialalikiba ametangaza rasmi tour yake ya nchini Marekani.
Akieleza kwenye Instagram yake @officialalikiba ameeleza kuwa huu ni mwaka wa nne hajawahi kufanya show Marekani hivyo hiyo inaonyesha ni namna gani ame miss kufanya show katika yaifa hilo.
Ameongeza kuwa Tour hiyo itakuwa maalumu kwa ajili ya album yake ya Only one King.