Burudani

Alikiba awaonyesha mashabiki wake picha za video yake mpya (Picha)

Alikiba anatarajia kuwapa mashabiki wake zawadi waliyoisubiri kwa muda mrefu – video.

11379088_516569745163009_315077195_n
Alikiba akiwa katika kazi

Muimbaji huyo ameshoot video nchini Afrika Kusini na muongozaji Meji Alabi.

Kupitia ukurasa wa Facebook, Alikiba amepost na utengenezaji wa video hiyo na kuandika: Music video shoot in South Africa at 3 degrees celsius… We keep rolling!

11350568_976872012336270_2707229765011132660_n
Muongozaji Meji Alabi akiwa kazini

Hivi karibuni mashabiki wa Alikiba walilalamika kuchelewa kwenye video ya Chekecha na kudai kuwa anawaangusha.

11351812_1663090943927055_344829160_n
Alikiba akiwa na Meji Alabi

11390285_976875359002602_5456705516142548614_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents