Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Alikiba kufannya collabo na Harmonize?? sio remix ya Mahaba labda nyingine

Baada ya @officialalikiba kuulizwa kuhusu ujio wa @harmonize_tz kwenye mechi yao na @samagoal77 amemkaribisha, Ameongeza kuwa alipna mkwara wa @harmonize_tz na kweli anamkaribisha kwenye mchezo wao.

Sio @harmonize_tz tu @officialalikiba amekaribisha wasanii wataotaka kushiriki.

Baada ya @officialalikiba kuulizwa kuhusu ujio wa @harmonize_tz kwenye mechi yao na @samagoal77 amemkaribisha

Ameongeza kuwa alipna mkwara wa @harmonize_tz na kweli anamkaribisha kwenye mchezo wao. Sio @harmonize_tz tu @officialalikiba amekaribisha wasanii wataotaka kushiriki.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents