Burudani

Alikiba kufanya listening party ya pili ya album yake leo Nairobi

Staa wa Bonho Fleva na CEO wa lebo ya @kingsmusicrecords @officialalikiba amealika mastaa kibao kutoka nchini Kenya kuhudhuria tukio la Listening party ya album yake ya THE ONLY ONE KING.

Hili ni tukio la pili @officialalikiba analifanya la kwanza lilifanyika Tanzania siku ya Jumatano na leo linafanyika Nairobi Kenya.

Miongoni mwa mastaa walioalikwa ni pamoja na mama mtoto wa @diamondplatnumz @tanashadonna pia aliyewahi kuwa mke wake @iambenpol @anerlisa @otilebrown @khaligraph_jones @realshinski na mastaa wemgine.

Tuambie ni ngoma ipi ya @officialalikiba iliyopo kwenye album yake ya THE ONLY ONE KING umeipenda ..?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents