Burudani
Alikiba kufanya listening party ya pili ya album yake leo Nairobi
Staa wa Bonho Fleva na CEO wa lebo ya @kingsmusicrecords @officialalikiba amealika mastaa kibao kutoka nchini Kenya kuhudhuria tukio la Listening party ya album yake ya THE ONLY ONE KING.
Hili ni tukio la pili @officialalikiba analifanya la kwanza lilifanyika Tanzania siku ya Jumatano na leo linafanyika Nairobi Kenya.
Miongoni mwa mastaa walioalikwa ni pamoja na mama mtoto wa @diamondplatnumz @tanashadonna pia aliyewahi kuwa mke wake @iambenpol @anerlisa @otilebrown @khaligraph_jones @realshinski na mastaa wemgine.
Tuambie ni ngoma ipi ya @officialalikiba iliyopo kwenye album yake ya THE ONLY ONE KING umeipenda ..?