HabariMichezo

Ally Mayay kukaimu Ukurugenzi wa Michezo

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa amemteua Ally Mayay Tembele kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo.

Mayay ambaye kwa sasa ni Afisa Mwandamizi katika Mamlaka ya Viwanja vya Ndege, amehamishiwa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na kuruhusiwa kukaimu majukumu hayo kwa mujibu wa kibali cha ofisi ya Rais Utumishi.

Ally Mayay anachukua nafasi ya Yusuph Singo aliyepangiwa majukumu mengine na kwamba uteuzi wake umeanza leo Septemba 20, 2022.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents