Michezo

Ambokile awavaa wanasimba kumkataa Mpanzu

AMBOKILE: ANAESEMA GUEYE NI ZAIDI YA MPANZU NI MUHUNI KWENYE MPIRA

@ibrahim_ambokilee amewapa makavu baadhi ya mashabiki wa simba wanaomsema vibaya Elie Mpanzu baada ya ujio wa winga Gueye kwenye kikosi cha Simba.

Je, unaona Gueye ni zaidi ya Mpanzu katika kikosi cha Simba??

 

 

 

 

 

Imeandaliwa @witnessflavian24

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents