Michezo

Aucho na Mukwala wala shavu tena

Updates πŸ‘‡

➑️ Nahodha wa timu ya Taifa ya Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬ Khalid Aucho (31) na Mshambuliaji Steven Mukwala (25) wameitwa kwenye kikosi cha timu yao ya Taifa kwaajili ya mechi za kufuzu World Cup 2026

➑️ Uganda watacheza dhidi ya Mozambique πŸ‡²πŸ‡Ώ Machi 20 na dhidi ya Guinea πŸ‡¬πŸ‡³ Machi 25

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents