Muziki
Audio: Ally Choki – Mfano wa Kijana
Msanii wa muziki Ali Choki miaka ya nyuma aliingia studio na kuandika Wimbo Kijana Wa Mfano akimuimba aliyekuwa Mkurugenzi wa lebo ya Mtanashati, Ostaz Juma Na Musoma kwaajili ya ukarimu wake wakusaidia watu wa aina mbalimbali.