Mahojiano

Aunt Ezekiel atolea ufafanuzi mimba yake na kueleza muhusika ni Kusah au Mose Iyobo (+Video)

Msanii wa Bongo Movie na mjasiriamali @auntyezekiel amefunguka kuhusu mimba yake na kueleza muhusika wa mimba hiyo baada ya kuulizwa ni ya @_kusah_ au @moseiyobo

Mbali na hilo @auntyezekiel amezungumzia kuhusu ufunguzi wa maonyesho ya Sabasaba ambapo Waziri Mkuu alimuulizia na kutuma salamu kwake kwamba “Msalimieni “ baada ya yeye kukosekana kwenye banda lake. Pia @auntyezekiel amemwagia sifa @zamaradimketema na kusema “ @zamaradimketema ni Genious mwembamba lakini akili zake kubwa.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents