Burudani
Aunt Ezekiel: Mimi ni mama bora, nataka mtoto wa tatu
Kupitia ukurasa wake wa Instagram msanii wa Bongo movie Aunt Ezekiel ameandika kuwa” Mm ni Mama Bora yawezekana ikawa sio kwako ila kwa Watoto wangu Mm ni Bora….🥰
Thank U God kwa Zawadi za Watoto Wawili Wazuri🙏❤
Nataman wa Tatu😢
Awe wa Kike plz🥰
#WatotoRaha