Burudani

Aunty Ezekiel amfariji Wema Sepetu kwa namna yake

Msanii wa Filamu Nchini Tanzania @auntyezekiel amezungumza na waandishi wa habari kubwa zaidi ni kuhusu swala la yeye kuwa na ujauzito huku akimtia moyo rafiki yeke Wema Sepetu ambapo kaika hilo amsema kwamba swala hilo ni swala la muda na muda ukifika itakuwa kama yeye anavyotaka “hatuwezi kufa wema hajapata mtoto wema sio tasa”

Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya Youtube ya Bongo

Written and edited by #abbrah255 and @el_mandle_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents