Hamza Fumo

Ajali ya Che Malone wa Simba, Masaki
Habari

Ajali ya Che Malone wa Simba, Masaki

Beki wa Klabu ya Simba, Che Fondoh Malone amepata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo akitokea Airport ya Kimataifa…
Tanguy Mebiani ‘Pilato’ wa mechi ya Yanga vs Al Merrikh
Habari

Tanguy Mebiani ‘Pilato’ wa mechi ya Yanga vs Al Merrikh

Mwamuzi wa kimataifa kutoka nchini Gabon Tanguy Mebiani ameteuliwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF kuchezesha mechi ya marudiano ya…
Andre Onana adondosha funguo za gari baada ya kichapo cha Bayern Munich
Habari

Andre Onana adondosha funguo za gari baada ya kichapo cha Bayern Munich

Golikipa wa Man United, Andre Onana ameonekana akiokota funguo yake ya gari baada ya kuidondosha muda mchache tu baada ya…
Ronaldo ndani ya Utamaduni wa Saudia (+Video)
Habari

Ronaldo ndani ya Utamaduni wa Saudia (+Video)

Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Al-Nassr akiwemo Sadio Mane wameonekana kwenye video mpya wakiwa wamevalia mavazi ya kitamaduni ya…
Marefa muwalinde wachezaji
Habari

Marefa muwalinde wachezaji

Mpaka sasa ni mzunguko wa tatu wa ligi ya Tano kwa ubora barani Afrika ligi kuu soka Tanzania bara ligi…
Yanga ya Gamondi Biashara asubuhi
Habari

Yanga ya Gamondi Biashara asubuhi

Kocha wa yanga anataka kufanya biashara yake mapema baadae aje kupiga mahesabu kama ataingia hatua ya Makundi ya ligi ya…
Inonga Baka aruhusiwa Hospitali- Abbas Ally Mratibu wa Simba(+Video)
Habari

Inonga Baka aruhusiwa Hospitali- Abbas Ally Mratibu wa Simba(+Video)

Mratibu wa Klabu ya Simba Abbas Ally amezungumza na Bongo 5 akiwa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Temeke ambapo…
Inonga atolewa na Ambulance uwanjani, Ugando wa Coastal Union apewa kadi nyekundu
Habari

Inonga atolewa na Ambulance uwanjani, Ugando wa Coastal Union apewa kadi nyekundu

#Breaking Beki wa Simba SC, Henock Inonga ameumia na kutolewa na gari maalumu la kubebea wagonjwa (Ambulance) dakika ya 25 tu…
VIDEO: Mashabiki wa Simba uwanja wa Uhuru vs Coastal Union
Habari

VIDEO: Mashabiki wa Simba uwanja wa Uhuru vs Coastal Union

Tambo za mashabiki wa Simba wakiwa tayari kuwakabili Coastal Union ya Tanga kwenye Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara
VIDEO: Kocha Cedric Kaze atema cheche Yanga 1-0 Namungo
Habari

VIDEO: Kocha Cedric Kaze atema cheche Yanga 1-0 Namungo

“Goli tano, hata kwenye Biblia hakuna sehemu imeandikwa Kila Timu itafungwa goli tano,”- Kocha wa @namungofc Cedric Kaze atema Cheche Kaze anadai…
VIDEO: Kocha Gamondi ‘Ageuka Mbogo’ kisa ushindi Kiduchu Yanga vs Namungo
Habari

VIDEO: Kocha Gamondi ‘Ageuka Mbogo’ kisa ushindi Kiduchu Yanga vs Namungo

Kocha wa Yanga, Gamondi ameonekana kutoridhishwa na namna mpinzani wake alivyocheza akisema kuwa walikuwa wakipoteza muda tu uwanjani. Akiulizwa swali…
VIDEO: Yanga vs Namungo FC Mashabiki watema nyongo Chamazi
Habari

VIDEO: Yanga vs Namungo FC Mashabiki watema nyongo Chamazi

@yangasc hawana dogo, shangwe mwanzo mwisho Azam Complex Chamaz mashabiki wazitaka 5G wadai wamezizoea Yanga vs Namungo Azam Complex Kumenoga
Aliyemsumbua Shomary Kapombe, Joshua Mutale kutua Simba.?
Habari

Aliyemsumbua Shomary Kapombe, Joshua Mutale kutua Simba.?

Uongozi wa Klabu ya Simba unahusishwa kutaka kumsajili Mchezaji wa Power Dynamos, Joshua Mutale katika dirisha dogo la msimu huu.…
Wanne wafariki dunia, wengine majeruhi wakiifuata Namungo Dar
Habari

Wanne wafariki dunia, wengine majeruhi wakiifuata Namungo Dar

”Uongozi wa Klabu ya Namungo FC umepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya mashabiki wetu waliokuwa wakisafiri kutoka Ruangwa kuelekea…
Sakata la Kocha mpya wa Singida Fountain Gate, Ernst Middendorp kuondoka
Habari

Sakata la Kocha mpya wa Singida Fountain Gate, Ernst Middendorp kuondoka

Mpaka sasa Klabu ya @singidafountaingate haijatoa taarifa rasmi kuhusu Kocha wake, Ernst Middendorp ambaye amehusishwa kutimka zake wiki mbili tu…
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents