Huu ndio uamuzi wa Tip Top kuhusu Dogo Janja baada ya kulalamika kuwa wanambania
Burudani
February 22, 2016 - 9:00 am
Huu ndio uamuzi wa Tip Top kuhusu Dogo Janja baada ya kulalamika kuwa wanambania
Baada ya kuvuja kwa sauti ya Dogo Janja akilalamika (kwa demu) kuhusu uongozi wake wa Tip Top connection kumbania, Madee…
Nay Wa Mitego kuachia video ya ‘Shika Adabu Yako’ wiki hii licha ya BASATA kuufungia wimbo huo
Burudani
February 22, 2016 - 7:00 am
Nay Wa Mitego kuachia video ya ‘Shika Adabu Yako’ wiki hii licha ya BASATA kuufungia wimbo huo
Licha ya BASATA kutoa tamko la kuufungia wimbo wa ‘Shika Adabu Yako’ wa Nay Wa Mitego, msanii huyo ametangaza kuachia…
Panamusiq yamsaini msanii wa Kenya, Anto NeoSoul
Burudani
February 17, 2016 - 3:00 pm
Panamusiq yamsaini msanii wa Kenya, Anto NeoSoul
Label ya muziki Panamusiq yenye makazi yake nchini Tanzania, imemuongeza muimbaji wa AfroPop & Soul kutoka Kenya, Antony Mwangi a.k.a…
Vanessa Mdee atangaza nafasi ya ajira ya ‘msaidizi wake mkuu’
Burudani
February 17, 2016 - 2:15 pm
Vanessa Mdee atangaza nafasi ya ajira ya ‘msaidizi wake mkuu’
Tunaposema muziki ni ajira hiki ndicho tunachokimaanisha, wasanii wa muziki na filamu wanapofanikiwa kutokana na shughuli zao za sanaa, pia…
‘Biashara ya familia inaumiza sana’ – Asema Peter wa P-Square, ataka kaka yao Jude Okoye avuliwe umeneja
Burudani
February 17, 2016 - 12:35 pm
‘Biashara ya familia inaumiza sana’ – Asema Peter wa P-Square, ataka kaka yao Jude Okoye avuliwe umeneja
Msanii wa kundi maarufu la P-Square, Peter Okoye kutoka Nigeria amethibitisha kuwepo kwa tofauti kati ya ndugu hao na meneja…
Picha: Shilole na Nuh Mziwanda ‘waringishiana’ wapenzi wao wapya Instagram!
Burudani
February 17, 2016 - 9:00 am
Picha: Shilole na Nuh Mziwanda ‘waringishiana’ wapenzi wao wapya Instagram!
Kama ulikuwa ni msiba wa ‘penzi’ basi arobaini imeisha na sasa maisha yanaendelea kwa wasanii wa Bongo fleva, Shilole na…
Director Nisher kurudi kwa kishindo, aahidi kuachia video tatu kwa mpigo mwezi huu
Burudani
February 12, 2016 - 12:30 pm
Director Nisher kurudi kwa kishindo, aahidi kuachia video tatu kwa mpigo mwezi huu
Nisher is back! Mshindi wa tuzo ya Muongozaji wa Video Anayependwa katika Tuzo Za Watu 2014, director Nisher ameanza ku-tease…
Video: Tazama behind the scenes ya utengenezaji wa video ya ‘Kamatia’ ya Navy Kenzo iliyofanyika S.A
Burudani
February 8, 2016 - 11:18 am
Video: Tazama behind the scenes ya utengenezaji wa video ya ‘Kamatia’ ya Navy Kenzo iliyofanyika S.A
Ni takribani wiki mbili zimepita toka Navy Kenzo waachie video mpya – ‘Kamatia’ ambayo ni video yao ya pili kubwa…
Video: AY amtambulisha muongozaji wa video ya ‘Zigo’ remix, tazama ilivyokuwa wakati wa kushoot video hiyo S.A
Burudani
February 4, 2016 - 7:00 am
Video: AY amtambulisha muongozaji wa video ya ‘Zigo’ remix, tazama ilivyokuwa wakati wa kushoot video hiyo S.A
Video ya ‘Zigo’ remix inakaribia kufikisha views milioni moja na nusu, ikiwa ni takribani wiki mbili toka ilipowekwa kwenye mtandao…
Baada ya kupikwa akapikika, mshindi wa BSS 2015 Kayumba kuzindua video aliyoshoot S.A wiki hii
Burudani
February 1, 2016 - 3:00 pm
Baada ya kupikwa akapikika, mshindi wa BSS 2015 Kayumba kuzindua video aliyoshoot S.A wiki hii
Mshindi wa shindano la kusaka vipaji Bongo Star Search 2015, Kayumba Juma kutambulishwa rasmi kama msanii weekend hii, kwa kuzindua…
Picha: King Kaka atembeza mitaani mixtape yake mpya, auza zaidi ya nakala elfu 3 ndani ya masaa matano
Burudani
February 1, 2016 - 1:00 pm
Picha: King Kaka atembeza mitaani mixtape yake mpya, auza zaidi ya nakala elfu 3 ndani ya masaa matano
Biashara ya album imekuwa ni swala lenye changamoto nyingi kwa wasanii wa Tanzania kiasi cha kuwafanya wengi wasitamani kutoa album,…
Video ya AY na Diamond ‘Zigo’ remix yapata views zaidi ya milioni 1 ndani ya wiki 1
Burudani
February 1, 2016 - 11:36 am
Video ya AY na Diamond ‘Zigo’ remix yapata views zaidi ya milioni 1 ndani ya wiki 1
Miongoni mwa vipimo vya video ya muziki kupokelewa vizuri ni pamoja na namba za watu waliotazama au kupakua mtandani. Kwa…
Studio za muziki za Bongo hazithaminiwi kama ofisi zingine – Nahreel
Burudani
February 1, 2016 - 10:30 am
Studio za muziki za Bongo hazithaminiwi kama ofisi zingine – Nahreel
Mtayarishaji wa studio ya The Industry, Nahreel ambaye kwa mwaka jana (2015) alifanikiwa kutengeneza hits kubwa kumi na saba (17)…
‘Nana’ yaendelea kumletea tuzo Diamond, ashinda tuzo nyingine mbili Uganda (orodha kamili ya washindi)
Burudani
February 1, 2016 - 8:18 am
‘Nana’ yaendelea kumletea tuzo Diamond, ashinda tuzo nyingine mbili Uganda (orodha kamili ya washindi)
Diamond Platnumz ameendelea kujiongezea idadi ya tuzo alizoshinda baada ya wimbo wa ‘Nana’ kumpa ushindi wa tuzo nyingine mbili weekend…
Linex: Mzungu (ex girlfriend) ndiye mwanamke pekee maishani mwangu niliyemkuta na ‘bikira’
Burudani
January 30, 2016 - 5:00 pm
Linex: Mzungu (ex girlfriend) ndiye mwanamke pekee maishani mwangu niliyemkuta na ‘bikira’
Unakumbuka Linex aliwahi kuwa na uhusiano na binti wa kizungu miaka kadhaa iliyopita hadi akafikia hatua ya kumvisha pete, lakini…