HabariMichezo

Azam FC wametolewa na Bahir Dar Kombe la Shirikisho Afrika

Azam FC wametolewa kwenye Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mikwaju ya penati 4-3.

Wachezaji wa @azamfcofficial waliyokosa penati ni Sillah, Bajana wakati ile ya ziada ya sita imekoswa na Iddrisu.

Mchezo wao wa kwanza walitoka 2-1 kama ilivyotokea leo ambapo Azam walipata bao la ugenini kama ilivyo kwa Bahir Dar hii leo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents