MichezoVideos

Azam watua Dar kinyonge, Ubingwa una raha yake (+Video)

Matajiri wa Jiji la Dar Es Salaam Wanalambalamba Azam FC wametua Dar Es Salaam wakitokea Zanzibar katika Michuano ya Kombe la Mapinduzi 2022. Azam FC walipoteza goli 1 – 0 dhidi ya Simba SC kwenye mchezo wa Fainali uliyopigwa jana usiku Januari 13, 2022 na Ubingwa kuchukuliwa na Mnyama Simba SC.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents