Matajiri wa Jiji la Dar Es Salaam Wanalambalamba Azam FC wametua Dar Es Salaam wakitokea Zanzibar katika Michuano ya Kombe la Mapinduzi 2022. Azam FC walipoteza goli 1 – 0 dhidi ya Simba SC kwenye mchezo wa Fainali uliyopigwa jana usiku Januari 13, 2022 na Ubingwa kuchukuliwa na Mnyama Simba SC.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
MUSIC AUDIO: Wakateezo Ft Msami – MUZIKI4 days ago
-
MUSIC AUDIO: Zuri Music – RAHA2 weeks ago