Muziki
B Classic baada ya mvutano na Otile aachia ngoma mpya ‘WATETE’ (+ Video)
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya 🇰🇪 @bclassic006 ameachia ngoma mpya inayoitwa #WATETE ambayo amemshirikisha msanii mwingine Arrow Bwoy
Ikumbukwe siku za hivi karibuni @bclassic006 alikuwa na mvutano na #Otile akidai kuwa Otile ameshindwa kuitumia nafasi yake ingawa alieza kuwa sio kwamba ana mdharau Otile bali ni msanii mkubwa na anamkubali na hana bifu naye.