BurudaniDiamond PlatnumzHabari

Baada ya Manara kuoa, Diamond asema naye yupo njani kuoa

Baada ya msemaji wa klabu ya @yangasc @hajismanara kutangaza kupitia Instagram yake kuwa ameongeza mke mwingine.

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @diamondplatnumz amecomment na kusema kuwa na yeye yupo njiani kuoa Insh Allah.

Usiku wa jana @hajismanara amefanikiwa kuongeza jiko (kuoa) mke wa pili baada ya miezi kadhaa nyuma kufunga ndoa na mwanamke alienaye kwa sasa.

Hii ni ndio ya tatu ya @hajismanara baada ya mwaka mmoja nyuma kufunga ndoa ya kwanza na miezi mitano iliyopita alifunga ndoa na mwanamke mwingine.

Kupitia mahojiano aliyofanya na media kadhaa @hajismanara alithibitisha kuwa aliachana na mke wake wa kwanza hivyo alibaki na mke mmoja ambaye alifunga naye ndoa miezi kadhaa nyuma.

Hii ni ndoa nyingine ikimaanisha kuwa @hajismanara sasa ana wake wawili baada ya kutangaza kuachana na mke wa kwanza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents