Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Baba levo: Mwijaku alikwamisha safari ya Uturuki, Tuliwahi kabla ya tarehe husika
Baada ya safari yao ya kwenda Uturuki kukwama @officialbabalevo aeleza kuwa @mwijaku alichangia safari hiyo kukwama baada ya kufika Airpot.
@officialbabalevo ameeleza kuwa VISA ilikuwa inaonyesha watasafiri tarehe 1/7 lakini @mwijaku hakuiaoma vizuri wao wakaondoka.
@officialbabalevo ameongeza: Mimi na Mwijaku hatujawahi kusafiri nje ya nchi tulikutana PWAGU na PWAGUZI.