Burudani

Baba Levo: Wimbo High and Low niliuandika nikiwa jela, nikaacha baada ya kupata stress (Video)

Msanii wa muziki Baba Levo amefunguka kuuzungumzia wimbo wake mpya High and Low ambao kwa sasa unafanya vizuri kwenye chart mbalimbali za radio na runinga. B Levo ambaye pia ni diwani wa Kigoma amedai wimbo huo aliuandika akiwa jela.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents