Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Babu Tale amshukuru Marehemu Ruge, sasa hivi nina nyota tatu
Leo kwenye Artist MasterClass ambayo ilishirikisha wasanii mbalimbali wa kizazi kipya na wakongwe meneja wa @diamondplatnumz na Mbunge wa Morogoro Kusini Maahariki Hamisi Tale Tale @babutale amesimulia namna Marehemu Ruge alivyomuokoa na kumpa ajira.
@babutale amesimulia namna alivyoacha mshahara wa milioni moja na kwenda kuajiriwa na Marehemu Ruge mtaani.