Habari

Babu Tale atoa ufafanuzi udaktari wake (Video)

“Mimi ni daktari kwenye muziki, Ubunge haujanipa udaktari”

Meneja wa Diamond na Mbunge wa Morogoro Kusini @babutale ametoa ufafanuzi kuhusu kinachoendelea mtandaoni kuhusu udaktari aliotunikiwa na Chuo Kikuu cha Marekani.

Tale amedai wengi ambao wanapinga udaktari wake hawajaelewa, kwani udaktari huo amepewa kutokana na mambo makubwa aliyoyafanya kwenye muziki wake.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents