Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Balaa MC: Baada ya kumjibu Nay wa Mitego Instagram alinitafuta tukayamaliza

Baada ya @naytrueboytz kusema wasanii wa Singeli hawajielewi @balaa_mc alimjibu kuwa atamuonyesha ni kwa namna gani wanajielewa na kujitambua.

Baada ya kuzungumza naye ameeleza kuwa @naytrueboytz ni kaka yake na walilimaliza muda mfupi baada ya kjibizana mitandaoni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents