Barack Obama athibitisha kukutwa na virusi vya Corona
Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama alituma ujumbe wa twitter siku ya Jumapili kwamba amepimwa na kukutwa na virusi vya Corona (COVID-19). Katika ujumbe wa Twitter, alisema: “Nimepimwa na kukutwa na virusi vya corona. Nimekuwa nikikohoa kwa siku kadhaa, lakini ninahisi.
Michelle na mimi tunashukuru kupata chanjo ee amepimwa hajakutwa na virusi. “Inatukumbusha kupata chanjo ikiwa haujapata bado, hata kama visa vya maambukizi vinapungua.”
I just tested positive for COVID. I’ve had a scratchy throat for a couple days, but am feeling fine otherwise. Michelle and I are grateful to be vaccinated and boosted, and she has tested negative.
It’s a reminder to get vaccinated if you haven’t already, even as cases go down.
— Barack Obama (@BarackObama) March 13, 2022
Tangazo la Obama linakuja wakati maeneo mengi nchini Marekani yameripoti kupungua kwa idadi ya visa, wagonjwa wanaolazwa hospitali na vifo wakati wimbi la omicron likififia.
Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) kinasema pia kupoungua kwa maambuki tangu Februari. CDC pia inaripoti kuwa 81.5% ya Wamarekani wamepata angalau moja ya chanjo ya coronavirus, ingawa Obama, ambaye amechanjwa, anaonekana kuwa na kile kinachojulikana kama kesi nadra za waliochanjwa.