Burudani
Basata wakanusha kumfungia TundaMan “Tatizo lipo kwenye ule msalaba” (Video)
Baraza la Sanaa Taifa @basata.tanzania limekanusha kumfungia msanii @tundamantz ingawa wanachunguza malalamiko waliyopokea na matumizi ya msalaba kwenye mechi ya Simba Day
Katibu Baraza Dkt Mapana amesema wao sio watu wakufungia fungia wasanii kama kama zamani.