HabariSiasa

Binti wa Shetta apata shavu UVCCM DSM, ateuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya uendeshaji

Baraza la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam kupitia Kamati ya ya Uendeshaji Chipukizi katika kikao chake cha kawaida kimefanya uteuzi wa wajumbe Watatu ambapo limemteua Qayla Nurdin Bilal (Mtoto wa Msanii @officialshetta) kuwa Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents