BurudaniHabariVideos

Bodi ya filamu yawapongeza wasanii waliotajwa tuzo za Zikomo Award Afrika

Watanzania wametakiwa kuwapigia kura wasanii wa filamu ambao wametajwa kwenye tuzo za @zikomoawards .

@tanzania_film_board wamesema wameona kuna umuhimu wa Watanzania kupiga Kura kwa wingi ili kuiheshimisha tasnia ya filamu Afrika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents