Burna Boy nni moja ya wasanii kutoka barani Afrika wanaotajwa kumiliki magari ya kifahari zaidi mpaka sasa, kupitia majarida mbalimbali yameanndika kuwa:-
Burna boy anamiliki magari haya ya Kifahari.
Lamborghini Aventador SVJ $867,500 ya mwaka 2022 . zaidi ya Tsh bilioni 2
Two Rolls Royce Dawn $350,000 na nyingine 700, 0000 zaidio ya bilioni 2 za Kitanzania
Bentley Continental GT. $270,000 ya mwaka 2017 zaidi ya milioni 500 za Kitanzania
Ferrari 458 Italia $230,000 ya mwaka 2013 . zaidi ya milioni 500 za Kitanzania
Mercedes-Benz $228,000 ya mwaka 2022 . zaidi ya milioni 500 za Kitannzania
Lamborghini Urus Esteso $230,000 . Zaidi ya Tsh milioni 500
Maybach S650,000. zaidi ya bilioni 1.2 za Kitazania
Range Rover Autobiography $167,000 . zaidi ya milioni 300 za Kitanzania
Na yupo kwenye mipango ya kununua Buggati aina mpya ambayo ni $5 million zaidi ya Tsh bilioni 10 ambayo siku za hivi karibu Cristiano Ronaldo ameinuua.
Unahisi msanii gani anamiliki magari ya kifahari zaidi ya Burna boy kwa wasanii wa Afrika??