Michezo

Claudio Ranieri achaguliwa kuwa kocha bora mwaka 2016

Kocha wa klabu ya Liecester City Claudio Ranieri achaguliwa kuwa kocha bora mwaka 2016 na kunyakuwa tuzo ya Enzo Bearzot inayotolewa na shirika la soccer nchini Italia.

33F02F8000000578-3583491-image-m-2_1462908148583

Ranieri amejipatia tunzo hiyo baada ya kuisadia timu yake ya Leicester City kutoa ubingwa wa ligi ku ya Uingereza kwa mara ya kwanza katika historia ya timu hiyo

Tuzo hizo zilianza kutolewa mwaka 2011 na shirika la soka Italia.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents