HabariMahojiano

Clement Mzize wa Yanga abadili dini na kuwa Muislam

Taarifa zilizo rasmi ni kuwa Mchezaji nyota wa Klabu ya @yangasc , @clementinho49 amemua kusilimu na kuwa Muislam na kwasasa atajulikana kwa jina la Walid Mzize .

Mzize Amechukua maamuzi hayo Jana na ikiwa leo ni Swaum yake ya kwanza ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan , na Kushahadia kwa Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents