Michezo

De Agosto 2 – 6 Namungo FC Kombe la Shirikisho Afrika

Timu ya Namungo imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa jumla ya magoli 6 – 2 dhidi ya Waangola timu ya De Agosto kwenye mchezo wa kwanza wa Michuano ya Kombe la Shirikisho uliyopigwa leo jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo uliyopaswa kupigwa Angola ulivunjiliwa mbali na Shirikisho la soka Afrika CAF, kutokana na baadhi ya wachezaji wa Namungo pamoja na kiongozi mmoja kuarifiwa kuwa na Corona na hivyo kuifanya mechi hiyo kussogezwa mbele na kupigwa Tanzania huku De Agosto wakiwa wenyeji katika mechi ya kwanza.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents