BurudaniDiamond PlatnumzHabari

Diamond aahirisha show yake ya Rwanda, sababu hizi

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya WCB @diamondplatnumz amewatupia lawama waandaaji wa show yake ya One People ambayo ilitakiwa ifanyike leo nchini Rwanda kwa uzembe.

@diamondplatnumz ameeleza kuwa anawaachia wanasheria wake kushughulikia uzembe ulijitokeza huku akiwaomba radhi Wanya Rwanda na kusema kuwa tarehe nyingine itatajwa.

@diamondplatnumz ameeleza hayo kupitia Insta Story yake.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents