Bongo5 ExclusivesBurudaniDiamond PlatnumzHabariMahojiano

Diamond: Acheni kujidharau, wasanii wa Nigeria hawapigi show Uarabuni

CEO huyo wa WCB @diamondplatnumz amefafanua namna ambavyo muziki wa Bongo Fleva unafanya vizuri Uarabuni.

@diamondplatnumz amefafanua namna ambavyo kuna msanii mkubwa alichemka kwenye show yake Oman ikabidi @mbosso_ atafutwe akamuokoe

@diamondplatnumz ameongeza kuwa hajawahi kuona msanii kutoka upande wa Mgaharibi mwa Afrika akifanya show kubwa Oman, hivyo amewaasa wasanii wenzake kuwekeza Uarabuni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents