Burudani
Diamond aelekea Zanzibar kwa wiki mbili kukamilisha album yake (+ Video)
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @diamondplatnumz ametusanua kuwa anaelekea Zanzibar kwa ajili ya kukamilisha album yake. Ikumbukwe kuwa mapema le @diamondplatnumz amewathibitishia mashabiki wake kuwa Album yake itakuwa ya tofauti sana kutokana na maandalizi yake.