BurudaniVideos

Diamond amsifia S2kizzy aliyetayarisha nyimbo 5 kwenye EP ya FOA (Video)

DIAMOND AMSIFIA S2KIZZY KU-PRODUCE NYIMBO 5 KWENYE EP YA FOA, ADAI WATU WANAPENDA KUSIKIA VITU VISIVYO NA MAANA

PoEP ya FOA inaendelea kufanya vizuri huku @diamondplatnumz akimsifia producer @s2kizzy ambaye amefanya nyimbo tano kati ya kumi.

 

Diamond amedai mtayarishaji huyo amethubutu kwani kufanya kazi zenye hadhi ya Kimataifa sio kazi rahisi.

Katika hatua nyingine @diamondplatnumz amedai muziki wa sasa umebadilika sana tofauti na miaka ya nyumba kutoa nyimbo zenye ujumbe mwingi.

Kuangalia full video tembele YouTube ya BongoFive

Written and edited by @yasiningitu

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents