Burudani

Diamond atimiza ahadi yake ampa Mzee makosa milioni 10

Siku ya leo msanii @diamondplatnumz amekutana na Mzee Makosa ambaye alitamani kukutana nae baada ya kutazama mahojiano yake yaliyotrend kwenye mitando ya kijamii hatimaye Diamond amemkabidhi Mzee huyo kiasi cha Shilingi Milioni 10 baada ya kukutana nae na kuzungumza nae kama alivyokuwa akitamani

Video via Wasafi Tv

Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

Written and edited by #abbrah255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents