Bongo5 ExclusivesBurudaniMahojiano
Diamond na Alikiba wanasapotiana – Juma Lokole
Mtangazaji wa WasafiFm #JumaLokole ameeleza kuwa alifurahi sana alipoona Boss wake @diamondplatnumz amepost wimbo wa @officialalikiba na kusema anaupenda.
Akiongea na @el_mando_tz #JumaLokole ameongeza kuwa ni muda sahihi sasa @officialalikiba na @diamondplatnumz waige walichofanya @wizkidayo na @davido kuandaa Tamasha la Pamoja.
Juma amesema kuwa kwa upande wake anapenda nyimbo nyingi za @officialalikiba na huwa anazisikiliza lakini AJE ni wimbo wake pendwa wa muda wote.
Pia hata TeamKiba huwa wanasikiliza sana nyimbo za @diamondplatnumz hata @officialalikiba mwenyewe.