Bongo5 ExclusivesBurudaniDiamond PlatnumzHabariMahojiano

Diamond na Zari wawekwa kikaangoni, watoto wahoji kuhusu kuachana kwao

CEO wa lebo ya WCB @diamondplatnumz akiwa na watoto wake wawili @princess_tiffah pamoja na @princenillan lakini pia mama wa watoto hao @zarithebosslady

@diamondplatnumz yupo nchini Afrika Kusini kwa shughuli zake za kimuziki wiki ya pili sasa.

@diamondplatnumz ameandika kupitia Instagram yake kuwa watoto wao waliwaita siku ya jana na kusema wana maongezi na wazazi wao 🤔🤔

Watoto hao wanamuuliza @diamondplatnumz kuwa mama yao @zarithebosslady amewaambia kuwa kuachana kwao chanzo ni @diamondplatnumz na hapo @diamondplatnumz ana wajibu kuwa yeye sio chanzo.

Tiffah na Nillan wanenda mbali zaidi wakimuuliza wameambiwa na mama yao kuwa @diamondplatnumz ana watoto wengine na wanawake wengine.

Ungekuwa wewe ndio @diamondplatnumz ungefanyaje??

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents