BurudaniEvents

Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest wafunika usiku wa Castle Lite Unlocks (Full Video)

Jana usiku kulikuwa na tamasha kubwa la muziki la Castle Light Unlocks lililowakutanisha wasanii wakubwa wa kimataifa kama Diamond Platnum, Cassper Nyovest kutoka Afrika Kusini, Rapa Future kutoka Marekani na wengine na kundi la Weusi, Navy Kenzo na Vanessa Mdee wote kutoka Tanzania.

Vanessa Mdee akitumbuiza jukwaani .

Kwenye Tamasha hilo Msanii Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest wameonekana kusepa na kijiji kwani karibia nyimbo zao zote waliimba na mashabiki. Tazama show nzima hapa chini

By Godfrey Mgallah

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents