Burudani
Diamond, Rayvanny na Mbosso akaunti zao za Youtube zimerudi baada ya kudukuliwa
Baada ya kudukuliwa kwa masaa kadhaa akaunti za wasanii Diamond Platnumz ambaye ni CEO wa lebo ya WCB pamoja na wasanii wake wawili ambao ni Ryavnny na Mbosso akaunti zao za Youtube zimerudi.