Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Diva: Nimeolewa lakini sijui kupika, jana mume wangu ameninunulia chips na huwa ananunua chapati na maharage

Mtangazaji huyo wa Wasafi media amejiita mtangazaji ghali zaidi Tanzania baada ya kupanda na kuendesha gari aina ya Dodge ambayo ilitumiwa na muigizaji Vin Diesel katika movie ya Fast and Furious.

 

“Hii gari Vin Diesel kutoka Fast and Furious aliendesha imagine Diva leo naendesha sio mchezo”

Mbali n ahili Diva ameeleza kuwa licha ya kuolewa lakini bado hajui kupika, usiku wa jana alinunuliwa chips na mume wake lakini mara nyingine huwa analeta chapati na maharage tunakula”

Interview nzima ipo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.Written and edited by @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents