Michezo
Dkt Mo: Simba tutaidhalilisha JKT leo hii, watu hawajui yanayoendelea ndani
DR MO: JKT TUTAWAPIGA GOLI TATU LEO HII
Shabiki wa klabu ya simba maarufu kwa jina la Doctor Mo ametamba siku ya leo kwa kuitwanga JKT Tanzania katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Dar es Salaam.
JE, UNAMUONA MNYAMA AKIANGUSHA ALAMA MBELE YA JKT??
Siku ya leo wadau wa soka nchini wanasubiri kwa hamu kubwa sana mchezo wenye ushindani mkubwa sana katika Ligi Kuu Tanzania bara kati ya Simba dhidi ya JKT Tanzania, haijawahi kuwa mchezo mwepesi miamba hiyo ikikutana.
Kuangalia video Kamili tembelea ukurasa wetu wa Youtube Bongo5
Imeandikwa na kuandaliwa @witnessflavian24 & @johnbosco_mbanga




