Burudani

Dotto Magari amkingia kifua Harmonize sakata la kwenda Kanisani

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo @dotto_magari amegusia swala la msanii @harmonize_tz kwenda kanisani kuombewa ambapo katika hilo Dotto amesema “pale hajakosea amefata neno la Mungu maana mtu akifa anazikwa na dini zote “

Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya Youtube ya Bongo5

Written and edited by #abbrah255 and @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents