Burudani

Dotto Magari “maneno ya mwijaku hayaniumizi”

Katika mazungumzo na Bongo5 tv @dotto_magari amefunguka kuhusu maneno aliyosema @mwijaku kwamba maisha yake yamejawa na laana za watu aliowakaba ambapo katika hilo Dotto amegusia video aliyotumiwa ya Mwijaku akiwa kwenye ndege huku akisema maneno yake hayamuumizi na zile zilikuwa changamoto tu

Video nzima katika akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

Written and edited by @abbrah255 & @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents