BurudaniFahamuHabari

Drake adai baba yake inawezekana ametoka Nigeria

Moja ya Tovuti moja kutoka nchini Marekani ilipost kuuliza watu uasili wa rapa wa muziki kutoka nchini Canada #Drake.

Katika post hiyo ambayo iliweka mataifa matano ya Afrika na mataifa matatu ya Ulaya kuuliza asili ya Drake ni taifa gani.

Asilimia 30 imepiga kura na kusema kuwa Drake ana asili ya Nigeria taifa ambalo lipo Afrika huku asilimia Cameroon, Congo.

Taifa linaloongoza kutoka Ulaya ni Uingereza ambapo ilipata asilimia 8 tu.

Baada ya hicho Drake amepost Insta Story yake na kuuliza kuwa inawezekana baba yake akawa raia wa Nigetia??

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents